kuwa waganga na wachawi wana uwezo wa kuiona nyota na kuifuata. Na kama nyota haina ulinzi wa Allah waganga wanaweza kuichukua nyota. Kuna watu wanadhania
Wadau mbalimbali wakiwamo wananchi, polisi, Jeshi la Wananchi (JWTZ), Wizara ya Mambo ya Ndani wamezungumzia kuongezeka kwa ujambazi katika jiji la Dar
Mama Halima alijipata akiuma meno baada ya kupoteza hela zake takriban laki nne huko Kwale. Aliona ujumbe ulioandikwa katika karatasi kuwa kuna ploti
Ukifika mjini Taita, Paul Maneno anajulikana kote. Karibu nusu ya biashara zilizoko mjini Voi ni zake. Anamiliki magari, mikahawa na matatu karibu thelathini.
Mti huo si mwingine bali ni mwinula,mvumbula au wengine wanauita mvumbasi. Mti huu kama kuna jini ana kusumbua kwa kukuletea ukorofi wa kukuminya minya
Wakaazi wa Mukurweini walipigwa na bumbuazi baada ya mababe watatu kuonekana kando mwa barabara wakiwa uchi wakicheza mchezo usiojulikana wa kujipaka