Tangu Hamisi arudi kutoka Vihiga, amejaa na ujasiri kupindukia. Juzi tu, aliwashangaza wengi baada ya wasichana watatu kupatana mlangoni kwake na ndondi kuzuka. Kila mmoja wao alijitambulisha kama mpenzi wake Hamisi. Majirani walijionea vituko, wanawake wakivuana nguo hadharani na kurushiana cheche za matusi. Hawajamaliza gumzo la tukio hilo, Hamisi akaonekana na mke wa Bakari wakijivinjari …
Tangu Hamisi arudi kutoka Vihiga, amejaa na ujasiri kupindukia. Juzi tu, aliwashangaza wengi baada ya wasichana watatu kupatana mlangoni kwake na ndondi kuzuka. Kila mmoja wao alijitambulisha kama mpenzi wake Hamisi. Majirani walijionea vituko, wanawake wakivuana nguo hadharani na kurushiana cheche za matusi. Hawajamaliza gumzo la tukio hilo, Hamisi akaonekana na mke wa Bakari wakijivinjari baharini Pirates, wanaogelea na kutabasamu bila uoga. Juhudi za Bakari kumtenganisha mkewe na Hamisi hazikufua dafu. Mkewe alimkwamilia Hamisi zaidi ya kupe, aendapo yumo.
Wiki tatu hazijesha, mke wa Omari ameanza ukuruba na Hamisi na kwa sababu Hamisi na Omari ni marafiki wa tangu jadi, Hamisi alijigamba kwake Omari kuwa mke wake akiendelea kumtupia macho, atamtongoza. Jambo hilo lilimuudhi Omari lakini afanyeje. Hamisi ni kama amepewa smaku ya kuvutia wanadada kila aendapo. Idadi ya wasichana wanaomtamani inaongezeka kila siku, wengine wakifunguka waziwazi na kumuomba awakubali. Ameshapokea barua takriban 16 kutoka kwa vidoshi tofauti wakimuomba awaoe. Kiburi naye Hamisi amejaza kichwani, akijigamba na kujipiga kifua kuwa yeye pekee ndiye mume halisi Mombasa na Pwani yote.
“Ninayemtaka nampata. Mistari yangu hakuna anayeweza kuruka. Namtafuta Maimuna, msichana wa Joho awe wangu. Mtahama mtaa, wallahi!! Magari makubwa mtakayoyaona huku, mtazuba feri. Ngoja tu. Ningejua kuhusu Dr. Mugwenu mapema, saa hii ningeshakuwa Gavana wa huku. Haidhuru, sina shaka ya kulala peke yangu. Ugonjwa wa mahaba umeisha” alijitanua na kutangaza wazi wazi alichokifanya. Wengi waliokuwa naye walipigwa na butwaa!!! Kumbe anatumia nguvu za Daktari Mugwenu kuvutia wanadada!!!
Haikupita kipindi kirefu, Hamisi hakuwa peke yake mwenye uwezo huo. Daktari Mugwenu akatambulika kote Mombasa kwa tajriba yake katika kuwafanya wanaokosa usingizi kwa sababu ya upweke kujichagulia wachumba. Nguvu hizo zina uwezo wa kukufanya ukubalike haraka na kuwa na ulimi mwepesi na mtamu.
Habari iwafikie wanaosumbuka kila siku wakitafuta wachumba. Suluhisho lipo, mpigie Dkt. Mugwenu leo akifungulie njia na ujinyakulie msichana mrembo, mwenye hulka njema na mjjawa wa heshima. Anapatikana kila siku kupitia nambari 0740637248.
MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.
He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at work and clears away devilish spirits and dreams. For consultations call: +254740637248 https://mugwenudoctors.com Email: [email protected]