[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=PfzX8cM60dU[/embedyt] Imepita miezi sita sasa najimudu na usingizi wa mang'amung'amu. Nikilala tu, naanza kuota niko msituni, katika giza totoro nikifukuzwa na kuwindwa na wanyama wenye meno makali, sura za kuogofya na sauti zenye mingurumo ya kushtua. Mara nyingi nashtuka na kuamka nikiwa nimeloa jasho jjngi mpaka kwenye ulimi na moyo unanidunda mara dufu. Nimeenda …
[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=PfzX8cM60dU[/embedyt]
Imepita miezi sita sasa najimudu na usingizi wa mang’amung’amu. Nikilala tu, naanza kuota niko msituni, katika giza totoro nikifukuzwa na kuwindwa na wanyama wenye meno makali, sura za kuogofya na sauti zenye mingurumo ya kushtua. Mara nyingi nashtuka na kuamka nikiwa nimeloa jasho jjngi mpaka kwenye ulimi na moyo unanidunda mara dufu. Nimeenda hospitali tofauti tofauti, nimemeza madawa ya kila aina, lakini ni kama madaktari wanabahatisha. Hawana uhakika ni kipi wanachokifanya wala ni mbinu gani watakayoitumia angalau nipate lepe la usingizi. Nimekonda na kukondeana kwa sababu ya kutokuwa na amani, nimejawa na hofu na kuona kama hivi karibuni, wanyama hao watanikuta na kunifanya kitoweo.
Pesa nilizokuwa nimewekeza kwa benki zimeisha. Bibi yangu amekuwa akilea watoto, kwani kazi niliyokuwa nayo huko Bandari ya Mombasa niliipoteza baada ya kuchanganyikiwa siku moja na kuipotezea kampuni shilingi milioni mbili. Walinifukuza haraka upesi. Kukosa kwangu kwa usingizi mwanana kumenisononesha sana, kwani maisha yamekuwa magumu na hali yangu bado haijapata afueni. Nilisafiri mpaka Tanzania majuma mawili yaliyopita bila mafanikio. Nilipewa ujumbe kuhusu mganga kutoka Mbeya, lakini naye pia alishindwa kunisaidia.
Kila kilicho na mwanzo hakikosi kuwa na mwisho. Nilibahatika baada ya bibi yangu kuniletea habari njema kuhusu daktari wa kienyeji aitwae Dr. Mugwenu. Nilisita mwanzo kumuendea, baada ya kuitafuta tiba kusini na Magharibi. Bali akanisihi nimpe nafasi na fursa ya kunihudumia. Maajabu!! Tulisafiri hadi makaazi makuu yake huko Vihiga kupata matibabu yake halisi. Nilijionea jinsi anavyoaminika, kwani kulikuwa na foleni mlangoni, ya watu kutoka sehemu tofauti, kutoka tabaka tofauti na umri tofauti, wote wakiwa wamesafiri kuja kupata huduma zake mufti. Ndoto ziliisha, zipende zisipende. Dr. Mugwenu aliifanya kazi yake kwa kujitolea na kuhakikisha anayekuja anaondoka na suluhisho la kudumu.
Sina wasiwasi tena. Mugwenu Doctors wamenipa nafasi ingine kujaribu kuyakidhi mahitaji ya familia yangu. Moyoni nina amani na namshukuru Dr. Mugwenu kwa kunirudishia heshima, mafanikio na utulivu. Yeyote aliye na tatizo kama langu, namshauri amuone Dr. Mugwenu ama ampigie kupitia 0740637248 apate suluhisho.
MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.
He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at work and clears away devilish spirits and dreams. For consultations call: +254740637248 https://mugwenudoctors.com Email: [email protected]