• Kenya, Vihiga, Majengo.
  • Mon – Fri: 8:30 am – 5:00 pm.

Ready to take the next step?

Fill out this simple form and we’ll call you right back.

[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=WZiTPtXa4ks[/embedyt] Mama Halima alijipata akiuma meno baada ya kupoteza hela zake takriban laki nne huko Kwale. Aliona ujumbe ulioandikwa katika karatasi kuwa kuna ploti zilizokuwa katika mnada karibu na baharini. Akadhani amepata, kumbe amepatikana. Alipowapigia, walimuongelesha kwa lugha tamu ya kutoa chatu pangoni. Ulimi kweli hauna mfupa. Akajipata akielekea benki kutoa fedha za kununua …

[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=WZiTPtXa4ks[/embedyt]
Mama Halima alijipata akiuma meno baada ya kupoteza hela zake takriban laki nne huko Kwale. Aliona ujumbe ulioandikwa katika karatasi kuwa kuna ploti zilizokuwa katika mnada karibu na baharini. Akadhani amepata, kumbe amepatikana. Alipowapigia, walimuongelesha kwa lugha tamu ya kutoa chatu pangoni. Ulimi kweli hauna mfupa. Akajipata akielekea benki kutoa fedha za kununua ardhi hiyo ya ekari mbili. Akapatana na janadume lenye mandevu na kuandamana naye hadi akaonyeshwa mahali ploti ilipo. Wakaipima na kuhakikisha imefika kipimo sambamba. Akawakabidhi hela na kurudi nyumbani akitabasamu kwani amejinyakulia pande la ardhi kando na bahari yenye upepo mwanana.

Mtumeee!!! Hajapumzika vizuri akapigiwa simu eti ardhi aliyoinunua masaa machache yaliyopita ni ardhi ya umma inayopangiwa kujengwa kituo cha kufunza uvuvi huko Kwale. Akashtuka!! Kuenda katika ofisi ya utawala, wakamhakikishia kuwa hiyo ardhi haipo mnadani, kwani ni mali ya umma. Amehadaiwa na pesa zake, laki nne zimekunywa maji. Mama Halima akajawa na hamaki, hasira na miguu ikamlegea. Ikabidi ampigie kakake aone kama anamjua yeyote atakayemsaidia kurudisha pesa ambazo alizimwagia jasho kuzipata.
Akamtaarifu kuhusu Mugwenu Doctors, ambao ni daktari wa kienyeji kutoka Magharibi mwa Kenya wanaofahamika kwa ustadi wao katika nyanja za matibabu na uhodari wao katika kukomesha wezi. Haikuchukua muda mrefu baada ya kuwashtaki na kulalama kilichomtendekea, wakafanya matibabu yao, wakachanganya vya kuchanganywa, wakaponda vya kupondwa na kutumia ujuzi wao. Simu ikalia,akashika. Akasikia mingurumo na mihemko ya kilio. Janadume lenye mandevu linalia kama mtoto aliyenyimwa pipi. Ameshakiona cha mtema kuni amefunga macho hataki kukiona tena. Anaumwa mwili mzima. Mate, machozi na makamasi yanamtiririka. Akaomba msamaha na kukimbilia Mama Halima alipo kurudisha haramu aliyokula. Akaambulia hasara baada ya kuhitajika kutoa kitita zaidi cha Elfu Sabini kuurudisha uhalisia wake na kuwalipa Mugwenu Doctors. Akakoma na kutembea kwa miguu kurudi Kinango, Kwale akijuta.

MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.

He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at work and clears away devilish spirits and dreams. For consultations call: +254740637248 https://mugwenudoctors.com Email: [email protected]

admin

admin