[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=PfzX8cM60dU[/embedyt] MAISHA YANGU YALIBADIKISHWA NA MUGWENU DOCTORS. SIWEZI REGRET Ya ulimwengu yaachie walimwengu. Mjini Thika, kizaazaa kilizaa hamaki na mvutano baada ya umati mkubwa kujitokeza kujionea wenyewe jinsi Mwizi sugu wa magari alisindikizwa mpaka kituo cha polisi na Nyuki. Yaani badala ya kuunda asali, walichukua jukumu hilo na kujitwika kumpeleka huko apate adhabu na …
[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=PfzX8cM60dU[/embedyt] MAISHA YANGU YALIBADIKISHWA NA MUGWENU DOCTORS. SIWEZI REGRET
Ya ulimwengu yaachie walimwengu. Mjini Thika, kizaazaa kilizaa hamaki na mvutano baada ya umati mkubwa kujitokeza kujionea wenyewe jinsi Mwizi sugu wa magari alisindikizwa mpaka kituo cha polisi na Nyuki. Yaani badala ya kuunda asali, walichukua jukumu hilo na kujitwika kumpeleka huko apate adhabu na adabu. Tukio hilo liliwaacha wengi vinywa wazi, kwani hawajawahi shuhudia mazingaumbwe kama hayo kokote kule. Barobaro huyo kwa jina la Mike Mwangi, alizoea kuwahadaa wakaazi kwa kujiangusha katikati mwa barabara akijifanya mgonjwa. Atakayekubali kumpeleka hospitali kwa gari lake basi atajikuta ameachwa vichakani na gari lake kutoweka.
Ijumaa hiyo, Sarah Njeri Maina alikuwa ametoka nyumbani kuelekea duka la jumla la Naivas aliposhtushwa na mtu aliyeonekana akiwa anahisi maumivu barabarani. Akasimama ghafla na kutoka nje kuona kulikoni. Mike akaongea na sauti ya chini kuwa tumbo lake linamuuma vibaya sana anahisi ni kama malaika wa kifo anamnyemelea. Sarah akamkaribisha ndani haraka mtoto wa mungu asife akimuona. Kumbe alikuwa anasukuma mwiba katika mguu wake mwenyewe. Haikuchukua muda Mike alimshikia kisu na kumuamuru afuate njia tofauti inayoelekea vichakani. Huko ndipo alimuacha peke yake na kuondoka na gari na kuenda pasipojulikana. Kwa bahati nzuri akapatikana na kijana na kumsaidia kurudi Thika. Hapo ndipo ngoma ilipoanza kulia.
Bila ya kupoteza muda, aliomba simu ya rafikiye na kumpigia Dr. Mugwenu. Akampa taarifa kuwa kuna kijana ametoweka na gari, simu na pesa zake alizokuwa nazo masaa machache yaliyopita. Mugwenu Doctors ni madaktari wa kienyeji wanaojulikana sana kwa kuwa na ubunifu na uwezo wa kutatua shida nyingi kwa njia ya kienyeji. Hapo ndipo mshangao uliwakuta watu, kwani mda mchache tu baadae, Mike alitokea akikimbia mbio kuelekea kituo cha Polisi. Kuna wenye walizubaa, wengine waliduwaa, wengine wakaamua kuchukua video watazame baadae. Akakamatwa na kuekwa ndani baada ya gari na pesa kupatikana. Akatozwa faini ya kumponya na kuwarudisha Nyuki jangwani. Akakoma kabisa mambo ya wizi. Akaapa kuwa hatawahi tena kujaribu huo ufidhuli.
MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.
He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at work and clears away devilish spirits and dreams.
For consultations call: +254740637248 https://mugwenudoctors.com Email: [email protected]