• Kenya, Vihiga, Majengo.
  • Mon – Fri: 8:30 am – 5:00 pm.

Ready to take the next step?

Fill out this simple form and we’ll call you right back.

[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=PfzX8cM60dU[/embedyt] Kadzo Barawa amejionea jinsi upweke unaeza fanya afya kudhoofika. Ingawaje urembo bado anao, mwili umekomaa na kwa kukosa ukuruba na joto la mwanamme, amebaki akiwataza kwa tamaa wanaofunga pingu za maisha kila uchao. Moyo umeshakwisha kufa ganzi. Kuna wakati alikuwa na tumaringo akipigiwa mbinja anaongeza mwenda na kuharakisha kwato. Akikumbuka nyakati hizo anajicheka …

[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=PfzX8cM60dU[/embedyt]
Kadzo Barawa amejionea jinsi upweke unaeza fanya afya kudhoofika. Ingawaje urembo bado anao, mwili umekomaa na kwa kukosa ukuruba na joto la mwanamme, amebaki akiwataza kwa tamaa wanaofunga pingu za maisha kila uchao. Moyo umeshakwisha kufa ganzi. Kuna wakati alikuwa na tumaringo akipigiwa mbinja anaongeza mwenda na kuharakisha kwato. Akikumbuka nyakati hizo anajicheka na kujionea huruma. Kwani hivi sasa hakumbuki mara ya mwisho alisimamishwa barabarani na kutongozwa. Majanadume wanampita barabarani kana kwamba hana matako. Umri ashafikisha 30. Alijaribu siku moja kumtomgoza Charo lakini akamtusi eti amejiahusha hedhi na kumuita malaya.

“Jameni, kwani hawanioni? Sina bahati kabisa. Safari yangu ya ndoa imegonga mwamba, nitabaki tu nikizurura mtaani kama mbuzi aliyepotea. Dadangu Kache alinipata uwanjani saa hii ameolewa akaniacha nikipiga mazoezi. Ukisikia nimeenda usingizini ujue si ndoto mbaya wala majini, ni upweke na baridi” alilalama kwa rafikiye Mapenzi wakiwa saluni. Nywele anaziunda kila siku, kucha amezipaka hina, amegeuza mpaka mtindo wa nguo na vipodozi lakini wapi. Matokeo ni yaleyale; bahati mbaya imemwandama kama kupe.

Siku hizi hana tena hamu ya kuhudhuria harusi, kwani akifika anajipata akihuzunika na kujiuliza ni lini atavalishwa shela na kuvikwa pete ya uchumba. Mahangaiko yakamlemea hatimaye akashauriwa na Mwanajuma amtafute Mganga wa kienyeji aitwae Dr. Mugwenu. Akapiga simu kupitia 0740637248 na kuupata usaidizi wa uhakika. Mugwenu Doctors kumbe wana tajriba na nguvu kwelikweli. Matibabu yao ya kienyeji yakafanikiwa. Hayaakupita masaa mawili akapatana na kijana Shupavu aitwae Hamisi. Akajitambulisha na kumpa sifa ambazo hajazisikia mda mrefu. Wakaelewana. Wakapendana na kuchumbiana. Hatimaye akaamini kweli mambo mazuri hayataki haraka.
Akampigia Dr. Mugwenu na kumshukuru kwa kumfungulia nyota na kumwezesha kupata mchumba aliyempenda na kumuenzi.

MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.

He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at work and clears away devilish spirits and dreams.

For consultations call: +254740637248 https://mugwenudoctors.com Email: [email protected]

 

admin

admin