• Kenya, Vihiga, Majengo.
  • Mon – Fri: 8:30 am – 5:00 pm.

Ready to take the next step?

Fill out this simple form and we’ll call you right back.

[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=PfzX8cM60dU[/embedyt] HII NI VIDEO YA MUGWENU DOCTORS TUNAVYO ENDELEA KUGEUZA MAISHA YA WANANCHI WENGI. Mwangome alianza kuonyesha dalili za kuambukizwa ugonjwa wa zinaa wiki iliyo pita. Anajikunakuna Kama mtu aliyetembelewa na mabuu. Mke wake Halima ndiye wa kwanza aliyemshuku. Mwanzo alidhani ni uchafu tu kwa kukosa kuoga lakini akachunguza na kugundua bado huteremka mtoni …

[embedyt] https://www.youtube.com/watch?v=PfzX8cM60dU[/embedyt]

HII NI VIDEO YA MUGWENU DOCTORS TUNAVYO ENDELEA KUGEUZA MAISHA YA WANANCHI WENGI.

Mwangome alianza kuonyesha dalili za kuambukizwa ugonjwa wa zinaa wiki iliyo pita. Anajikunakuna Kama mtu aliyetembelewa na mabuu. Mke wake Halima ndiye wa kwanza aliyemshuku. Mwanzo alidhani ni uchafu tu kwa kukosa kuoga lakini akachunguza na kugundua bado huteremka mtoni kwenda kuoga. Hivyo Basi, lazima Kuna linalomfanya kila kukicha akifungua zipu na kujikuna. Mwishowe akamuuliza rafikiye na kuambiwa huenda ana ugonjwa wa zinaa. Akakumbuka si kitambo alimfumania na Kache aliyekuwa akiuza samaki huko Ukunda. Akakasirika, kwani walikubaliana ataacha tabia ya ukiritimba na umalaya.

Majadiliano waliyoyafanya kulikuwa na mashahidi wa kutosha. Pande zote mbili zilikaa chini na Mwangome akaomba msamaha mbele ya watu kuwa ameacha kama alivyoacha kunyonya titi la mamake. Sasa Halima amejipata akijiuliza maswali. Ni ugonjwa gani?? Ukimwi? Kisonono? Uvimbe wa sehemu za siri ama ataanza kugeuka rangi na kuwa manjano? Je, naye pia ameambukizwa?? Afanyeje?? Maswali mengi, majibu hamna. Akaamua kujitenga naye kwanza aone kama ugonjwa wake utapona ama utamnyonya.

Kwa Bahati nzuri hakuwa ameambukizwa. Lakini shida bado ikabaki ni ileile, ni nini kitamfanya Mwangome aache kuhanya? Akaondoka na kuenda Makongeni anaglau apate afueni kutoka kwa bughudha alizokuwa anazipitia. Akapatana na shoga yake wa kitambo aliyesoma naye Makongeni Primary. Haikuchukua muda akaamua kufunguka na kumjuza yanayomsibu. Rafikiye akacheka na kumwambia kuwa ipo siri ya kumfanya mumewe asihanye tena. Akampa namba ya Daktari wa kienyeji aitwae Dr Mugwenu. Akaharakisha na kumtafuta. Akarudi kwake akiwa na hamaki kuona kitakachotoke. Toba illahi!! Mwangome akajipata amekwama juu ya mama mboga hapo Ukunda walipokwenda chumbani. Akashtuka!! Kunani tena!! Akampigia mkewe simu akilia. Ngoma imepigwa ikapasuka. Sasa ni wakati wa marekebisho. Ikabidi atoe faini ili watenganishwe.

Halima akatabasamu akijua pwagu ameshapata pwaguzi. Hakuna siku tena atakutwa na wasiwasi kuhusu ushirikina wa mumewe. Mwangome akakoma na kuepuka aibu kabisa. Kuanzia siku hiyo akaacha kabisa tabia zake na kujishighulisha tu na mkewe.

MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.

He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at work and clears away devilish spirits and dreams. For consultations call: +254740637248 https://mugwenudoctors.com Email: [email protected]

admin

admin