• Kenya, Vihiga, Majengo.
  • Mon – Fri: 8:30 am – 5:00 pm.

Ready to take the next step?

Fill out this simple form and we’ll call you right back.

KHAD HAMMAM : huyu ni jini hatari makaazi yake chooni,na humuingia mtu au kumdhuru kupitia mtu kuteleza,kuanguka au kukungwaa chooni. Mara nyingi husababisha maradhi ya kupooza mguu au mkono,kupooza upande mmoja wa kushoto,mwanamke kutoka daume kwenye tupu yake,hata kwenye tundu za masikio,pua na mdomo. DALILI ZAKE mkono na mguu wa kushoto kupenda kufa ganzi. kupenda …

KHAD HAMMAM : huyu ni jini hatari makaazi yake chooni,na humuingia mtu au kumdhuru kupitia mtu kuteleza,kuanguka au kukungwaa chooni.

Mara nyingi husababisha maradhi ya kupooza mguu au mkono,kupooza upande mmoja wa kushoto,mwanamke kutoka daume kwenye tupu yake,hata kwenye tundu za masikio,pua na mdomo.
DALILI ZAKE

mkono na mguu wa kushoto kupenda kufa ganzi.

kupenda kusinzia ukiwa chooni na kukaa sana chooni ilhali umemaliza haja zako.

huogopi kuingia chooni bila taa hata kama kunagiza gani.

kutopenda kuingia chooni bila viatu na kususia kuogakutopenda kuingia chooni bila viatu na kususia kuoga.

ukiingia chooni uko na furaha ya kipekee unaweza kuimba na kupiga mbinja kwa fujo bila kujali.

kupenda kupasukwa na roho ukitia nia ya kwenda chooni.

hizo ni baadhi ya dalili za kuwa na jini khad Hammam japokuwa  zipo nyingi na kama hauna dalili hizo basi taadhari sana unapoingia chooni kuwa na nidhamu kama unafanya aja zako na kuwa msafi kila wakati.

Kwa wale wenye matatizo ya kusumbuliwa na majini, ndoto za kutisha na kusafisha nyota, wasiliana na sis..Kwa uzaidizi wowote tutembelee katika ofisini kwetu ambayo epo Majengo County ya vihiga au piga simu +254740637248 au tembelea tovuti yetu katika www.mugwenudoctors.com

admin

admin