LUCIFUGE ROFOCALE : Huyu ni Waziri Mkuu (Prime Minister) SATANACHIA : Amiri Jeshi Mkuu (Commander-in-Chief) AGALIAREPT : Kamanda wa Majeshi FLEURETY : Luteni Jenerali (Lieutenant-General) SARGATANAS : Brigedia Meja (Brigadier-Major) NEBIROS : Jemedari Mkuu na ni Inspekta Jenerali (Field-Marshal and Inspector-General) Kama jinsi ilivyoonekana hapa ya kuwa utawala wao katika Ulimwengu wao wa Kijini umekaa kijeshi lakini Utawala wao hapa …
LUCIFUGE ROFOCALE : Huyu ni Waziri Mkuu (Prime Minister)
SATANACHIA : Amiri Jeshi Mkuu (Commander-in-Chief)
AGALIAREPT : Kamanda wa Majeshi
FLEURETY : Luteni Jenerali (Lieutenant-General)
SARGATANAS : Brigedia Meja (Brigadier-Major)
NEBIROS : Jemedari Mkuu na ni Inspekta Jenerali (Field-Marshal and Inspector-General)
Kama jinsi ilivyoonekana hapa ya kuwa utawala wao katika Ulimwengu wao wa Kijini umekaa kijeshi lakini Utawala wao hapa Duniani sio wa Kijeshi kwani
1. LUCIFUGE ROFOCALE :
Ana mamlaka ambayo amepewa na LUCIFA ya kudhibiti Mali na Hazina zote za hapa Duniani. Wasaidizi wake ni Baal, Agares na Marbas.
2. SATANACHIA
Ana Mamlaka juu ya Wake, Wanawake, na Wasichana wote ambapo ana uwezo wa kuwafanyia kama jinsi atakavyopenda yeye. Wasaidizi wake ni Pruslas, Aamon na Barbatos.
3. AGALIAREPT
Ana mamlaka na Uwezo wa kugundua Siri zote zilizopo katika Mabaraza na Mahakama zote hapa Duniani. Anavumbua Siri za hali ya juu sana. Anaamuru Kikosi cha Pili cha Majini wasiopungua 3,000. Wasaidizi wake ni Buer, Gusoyn na Botis.
4. FLEURETY
Ana Mamlaka na Nguvu za Kufanya Kazi yeyote Usiku na anasababisha mvua ya Mawe katika sehemu yeyote ile itakayoitajika. Anaongoza na Kudhibiti Jeshi kubwa la Majini. Wasaidizi wake ni Bathsin(Bathim), Pursan na Eligor.
5. SARGATANAS
Ana Nguvu na Mamlaka ya kumfanya mtu yeyote asionekane, anasafirisha Mtu yeyote kwenda sehemu yeyote ile, kufungua Loki na Kufuli zote Duniani, Kuonyesha na kuweka wazi mambo yote yanayofanyika ndani ya Nyumba za Watu binafsi.
Anafundisha mbinu zote za Uchungaji wa Wanyama, anadhibiti na Kuamuru Vikosi Kadhaa vya Majini wasiopungua 5,000 kwa kila kikosi.
Wasaidizi wake ni Zoray, Valefar na Faraii.
6. NEBIROS
Ana uwezo wa kushurutisha Uovu kwa Mtu yeyote amtakaye.
Ana uwezo wa Kumletea Mtu Fahari Kuu.
Ana uwezo wa Kumuonyesha Mtu vitu Bora kama vile; Madini, Mawe, Mboga, na Wanyama.
Ana uwezo Mkubwa wa Kutabiri vitu vitakavyotokea hapo baadae; kwani Huyu ndiye Mkuu wa Utabiri katika Ulimwengu wa Kijini.
Anazunguka zunguka huko na huko kila sehemu kwa ajili ya Kuangalia, kuchunguza na Kukagua aina zote za Maangamizi. Wasaidizi wake ni Ayperos, Naberrs na Glassyalabolas.
Kuna Mamilioni ya Majini wengine ambao nao wapo chini ya hao waliotajwa hapo juu na hutumika tu pale inapoonekana ya kuwa kuna Kazi ya kufanya kutoka kwa Wakuu wao, kwani wao hutumiwa na Wakuu wao kama Wafanyakazi au Watumwa.
Kama unasumbuliwa na majini, ndoto za kutisha na maradhi yasiyoisha..Kwa uzaidizi wowote tutembelee katika ofisini kwetu ambayo epo Majengo County ya vihiga au piga simu +254740637248 au tembelea tovuti yetu katika www.mugwenudoctors.com